Paroles de la chanson Chura Superstar par Meja Kunta

Chanson manquante pour "Meja Kunta" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Chura Superstar"

Paroles de la chanson Chura Superstar par Meja Kunta

Oh jamani dada danga usiombe bia
Mi ndo chura Superstar
Malaya wenzako wananijua 
Nishadanga kila baa

Oh jamani dada danga usiombe bia
Mi ndo chura Superstar
Malaya wenzako wananijua 
Nishadanga kila baa

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Oh jamani inakaa mabwana 
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni wa kutoka naye

Oh jamani inakaa mabwana 
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni wa kutoka naye

Mi nataka nitoke na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe
Oh jamani mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Basi mama mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Kaka unataka mapenzi gharamia 
Usiombe ya bure utaumia
Nishadanga kusini, kaskazini
Unakotaka chukua

Kaka unataka mapenzi gharamia 
Usiombe ya bure utaumia
Nishadanga kusini, kaskazini
Unakotaka chukua

Wapi twende popote nakupatia
Kwa Lulege mi hata dumu nakalia
Sina wenge chupa ya soda napasua

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Jana nimekopa bia
Siku hizi sijaongea mada
Nikakugombani
Na ukipata bwana ng'ang'ania

Oh jamani inatamaa machura
Nataka kulala naye
Malaya nishadanga mji mzima
Nimekosa kutoka naye

Jamani inakaa machura
Nataka kuondoka naye
Malaya nishadanga mji mzima
Sioni kutoka naye

Mi nataka nitoke na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe
Oh jamani mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Basi mama mimi na wewe
Mi siwezi kwenda mwenyewe

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa
Namchat anamshia tilo, mi naogopa 
Na naumia mioyo, mi naogopa

Jamani anamshia tilo, mi naogopa 

Oh jamani timbuli kaka
Makimo na haujazima dada
Timbuli kaka makimo maujauzima

Eeh katika, inuka inama
Binuka mizuka inuka
Tunasepa na kijiji

Machizi mmechoka bado, bado
Mmechoka bado,bado
Na mmechoka bado,bado
Mmechoka bado,bado
Na mmechoka bado,bado
Mmechoka bado,bado

Oh jamani machizi wanacheza
Kama mzee jongoyo
Wanangu wanaruka kama mzee jo
(Jamani mi naogopa)

Ohh jamani mzee jingoyo
Mzee jingoyo
Mzee jingoyo, Mzee jingoyo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment