Paroles de la chanson Umechelewa par Mbosso

Chanson manquante pour "Mbosso" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Umechelewa"

Paroles de la chanson Umechelewa par Mbosso

Ulikuwa wapi wakati nalia lia na mapenzi

Ulikuwa wapi wakati silali nakosa usingizi
Ulikuwa wapi wakati nashindwa kula chakula

Ulikuwa wapi mbona umechelewa

Mbona umechelewa mbona umechelewa

Mbona umechelewa mbona umechelewa

Nilipelekwa puta sikubembelezwa kupewa hadhi

Nikala vya mafuta wakati mi hadhi yangu ya nazi

Kumbe hata kitandani nilipaswa kupandishwa

Hata kula mwiko yaani mi nilipaswa kulishwa

Kwa urefu wa mkono gani mgongo kujisugulisha

Mengine mapya ya chumbani oya we umenifundisha

Mbona Mbona umechelewa Mbona umechelewa

Kijiti eeeh kijiti ooh kijiti

Kakishikashika kimemchoma kijiti kimemtoboa

Kijiti eeeh kijiti Kakishikashika kimemchoma kijiti

Kama midomo chongeo kachongeni penseli

Mambo ya kwenye video si tunayafanya kweli

Kijiti eeeh kijiti

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Unataka embe dodo ya nini urushe kote

Tingisha mti kidogo chini utaziokota eeeh

Kijiti eeeh kijiti

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Wa mdondo wa mdondo huyo kuku wa madoa

Kamaliza mikorogo ngozi kujikoboa

Kijiti eeeh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti

Uuuh mwafulani mwisho wako barazani

Mwafulani ushoga wa zamani kuyajua ya chumbani

Kijiti eeeh kijiti

Kakishikashika kimemchoma kijiti

Odo Odo wangu oooh Odo

Nikidondoka unibebe Odo Odoo Odo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment