Paroles de la chanson Pawa par Mbosso
Chanson manquante pour "Mbosso" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Pawa"
Proposer une correction des paroles de "Pawa"
Paroles de la chanson Pawa par Mbosso
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah
Mjusi ukuta wa plasta nauparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah
Mjusi ukuta wa plasta nauparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari ni funue ufunuo oooh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)
