Paroles de la chanson Nadekezwa par Mbosso

Chanson manquante pour "Mbosso" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nadekezwa"

Paroles de la chanson Nadekezwa par Mbosso

Hohohoo hohoo hoho … Hohohoo hohoo hoho

Salamu ulizo nitumia ah
Zimenifikia  ah
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu
Vinono najilia
Biliyani yangamia
Penzi twa dalikana poo kidali

Nimekusahau
Nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia
(hukumweza ukaatema)

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
(hukumweza ukaatema)
Eeeheeehee

Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

Yanimashamu shama mtoto kanikabiri ooh
Hadi na come come kuminambili arufajiri

Na nishamvesha nyota cheochake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota kanishika pabayaa

Nakutadharisha simu zausiku punguza
Unahatarisha penzi langu moto kuunguza

Nishakusahau nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau anh
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko  umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
 {hukumweza ukaatema}eeeheeehee

Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment