Paroles de la chanson Najiuliza par Mattan

Chanson manquante pour "Mattan" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Najiuliza"

Paroles de la chanson Najiuliza par Mattan

Mmmmmhh lelelele
Nikisema tuachane 
Nirekebu yangu mapungufu
Kibinadamu
Moyo unanongoneza
Unapo nipa mtazamo ungekua Kando ningekuchumu maaa

Upopote ulipo ujue bado 
Nakupenda
My baby my baby 
Uvumi upepo wawili  tuvuke Ngambo
Aaaah my baby my baby
Hata dunia itoke kwenye mhimili
Kweli Hakuna wa kubadili 
Tulianza pair Kanda mbili

Na hata kaa umependa tukiwa 
Hivi mbili mbili nisawaaa
Swali moja nakuuliza 
Nitakusahau ulipo

Nitakusahau nitakusahau
Nitakusahau nitakusahau nitakusahau
Nitakusahau mahali ulipo 

Aaaahh kumbu kumbu inanitesa Sanar
Nikikumbuka mapenzi
Kweli Ni mwengi ulionifunza 

Sitaki amenichosha 
Popote ulipo ujue bado nakupenda
My baby Hata Dunia itoke kwenye mhimili
Kweli Hakuna kubadili
Na hata kaa umependa tukiwa 
Hivi mbili mbili nisawaaa
Swali moja najiuuliza
Nitakusahau ulipo
Nitakusahau nitakusahau nitakusahau nitakusahau nitakusahau nitakusahau nitakusahau 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)