Paroles de la chanson Usikate Tamaa par Masauti

Chanson manquante pour "Masauti" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Usikate Tamaa"

Paroles de la chanson Usikate Tamaa par Masauti

My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha
My boo boo naelewa kinachokuliza
Hizi shida ipo siku zitakwisha

Usilie
Ukilia utaniliza
Nivumilie
Yako machozi nitayafuta

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Kwenye raha na dhiki
Naomba upendo uwe pale pale
Tena uwe wa haki
Na roho nyuma usirudi kamwe

Mi natambua
Unahitaji nyumba na gari za kifahari
Tena najua
Zako nywele zinahitaji kwenda saluni

Sababu hali yetu duni sana
Kama natuendeshe gari mama
Mwenzio natafuta usiku na mchana
Tuishi nyumba ya kifahari mama

Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki
Litunze langu pendo wakati wa dhiki
Wasije kushawishi hao wanafiki

Ukaja ukaniacha solo
Utaniliza mama
Hey beiby

Usikate tamaa
Penzi letu bado changa mama
Changamoto lazima 
Watatuona kama hatuna maana

Lakini nakusihi 
Vumilia vumilia vumilia mama
Vumilia vumilia vumilia mama

Nivumilie, vumilia
Wangu cherrie

Usije niache solo mama
Hey Usije niache solo(Utaniumiza)
Hey usiniache solo
Utaniliza Masauti yeah..eeh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment