Paroles de la chanson Sawa par Masauti

Chanson manquante pour "Masauti" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sawa"

Paroles de la chanson Sawa par Masauti

Sasa kila kitu doro
Tumevumilia kwa maisha tumetusua
Tulivyokula kiporo
Nilifikiria tunda watalichukua

Hakuna tena sorrow
Ni muda wa kujivunia na kutulia
Shopping twende Comoro
Na unachofikiria nitakununulia

Maisha yetu tamu yaani tende
Sina sababu yaani bora nikupende
Wewe ni kichwa mimi ni pembe
Kama penzi nitakupa tamu usiende

Ya habibi 
Ni wewe umenivumilia
Sina budi
Kukuwa nawe beiby

Ulinishika nikashikilia, tukapenda
Hawajui tulipoanzia, wanasengenya
Mahaba we wanijulia, unazo tekenya
Unapotaka tutaishia, daima kwenda

Oooh beiby beiby na wala usione ghari
Kwa hiyo maisha tunayokaa
Oooh beiby beiby ukitaka pia magari
Ukitaka juu tunapaa

Kila kitu sawa(Sawa)
Usijali mama kila siku uko na mimi
Yaani sawa(Sawa)
Unachokipenda utakipata hapa mjini

Nasema sawa(Sawa)
Tumetoka mbali sitakuendea pembeni
Nasema sawa(Sawa)
Yaani sawa(Sawa)

Mi napenda unavyonukia
Urembo wako wee wavutia
Macho yako ukiniangalia
Moyo wangu unatulia

Kisura mi nagharamika mwenyewe
Kwanini nisiwe na wewe
Ka ni wakufura, tumeteseka wenyewe
Waache wasituelewe

Inshallah Mola tumuombe
akuondolee
Maisha mema tuendelee
Nyuma tusiregee

Ya habibi 
Ni wewe umenivumilia
Sina budi
Kukuwa nawe beiby

Ulinishika nikashikilia, tukapenda
Hawajui tulipoanzia, wanasengenya
Ni mahaba we wanijulia, unazo tekenya
Unapotaka tutaishia, daima kwenda

Dunia ilinifunza
Ila wewe ukatulia
Sasa nakutunza
Na maisha twaurahia

Kila kitu sawa(Sawa)
Usijali mama kila siku uko na mimi
Yaani sawa(Sawa)
Unachokipenda utakipata hapa mjini

Nasema sawa(Sawa)
Tumetoka mbali sitakuendea pembeni
Nasema sawa(Sawa)
Yaani sawa(Sawa)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment