Paroles de la chanson Raha par Marioo

Chanson manquante pour "Marioo" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Raha"

Paroles de la chanson Raha par Marioo

Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima? Aii utajiju
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang'au

Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka

Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Napenda akinipa 
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho

Na kama mapenzi
Roho yake bahari 
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga

Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani 
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment