Paroles de la chanson Nitavumilia par Madini Classic

Chanson manquante pour "Madini Classic" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nitavumilia"

Paroles de la chanson Nitavumilia par Madini Classic

Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Ni kama nakosa pumzi
Maneno yanakwisha eeh
Nimeona mengi
Binadamu hawana mema eeh

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi eeh

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Mama Madini anauliza 
Mwanangu wapi wajukuu
Ila mitandaoni wanasema
Eti nimemtaliki mwanangu

Oooh ona maadui hawajalala
Wananipigia mpaka usiku
Eti handsome umekula?
Ndio kesho waseme seme

Na Mungu si athumani
Kuna wanaonipenda 
Naomba msiniache 

Chonde chonde roho yangu
Usifanye hasira initawale
Nionekane mbaya mimi iyee

Ona wanasema nanii 
Kamtongoza nanii
Hata baada ya kuniibia haoni
Binadamu wabaya

Ona nabaki nalia na moyo wangu(Sana)
Wananitukana mpaka wezangu(Sana)
Nani aponye kidonda changu?
Mama Madini roho yangu

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)

Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia(Kwa sana)
Nitavumilia tu(Kwa sana)
Mimi nitavumilia ooh(Kwa sana)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)