Paroles de la chanson Ex par Madini Classic

Chanson manquante pour "Madini Classic" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Ex"

Paroles de la chanson Ex par Madini Classic

Kwanza wacha nikushukuru
Umefanya nikajua mapenzi
Owowowowooo

Kwa mateso yako, kwa vituko vyako
Nikajifunza kujienzi
Mamama maa

Ila hali yangu sio mbaya
Natumai we ulipo uko salama
Uko salama na ulishapenda tena

Mmmh bado napambana
Napambana na hali yangu
Na sina sababu
Ni vila naiona dunia tamu

Mi bado napambana
Handsome napambana na hali yangu
Na sina sababu
Ni vila naiona dunia tamu

Natamani ata siku moja nikupigie
Ila moyo unakataaa
Natamani ata siku moja nikupigie
Siwezi pokea

Na miss vile vituko vyako
Kununa hata kwa makosa yako
Nakukumbuka sana

Natamani ata siku moja nikupigie
Ila moyo unakataaa
Natamani ata siku moja nikupigie
Siwezi pokea

Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache

Ulivyo huyo mume wako
Anakudekeza nilivyokuwa kwako
Na ukinuna anakumbembeleza
Ama anakuvuruga yee

Wanasema hata ng'ombe maskini huzaa
Siku hizi nimeongeza ujanja wa mitaa
Na leo wapi anavuta huidai mmmh

Ujuzi kitandani nimeongeza sana
Hela nimepiga siko shida tena
Na leo wapi navuta huidai iyee

Na miss vile vituko vyako
Kununa hata kwa makosa yako
Nakukumbuka sana

Natamani ata siku moja nikupigie
Ila moyo unakataaa
Natamani ata siku moja nikupigie
Siwezi pokea

Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache
Nikuache wacha nikuache

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment