Paroles de la chanson Kamatulivyo par Mabantu

Chanson manquante pour "Mabantu" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kamatulivyo"

Paroles de la chanson Kamatulivyo par Mabantu

Kimambo on the beat

Tuliomba tusu, tukatusua 
Wao hawavioni buku, wakabukuwa
Kongole la butu, tukabutuwa  
Kwenye chukuchuku, wakachukuwa (wee)

Wee mama hakuna kufa 
iIpandishe kwa juu, alafu shusha
Takata kama una susa
Weka mvinyo kwa glasi, asha mziki tufurahi(aah yee) 

Long time nilisaka dooh 
Takataka, zote nikatupa store 
Wasaka, wote wanaisoma show 
Na nawasha, sizimi mpaka waombe pole

I say yeah yeah yeah
Na wasimame de de de
Kwangu mambo bie bie bie
Wakiomba leta ge ge ge

Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter,  waiter, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo

(Yesa man yesa yesaya)
Na nishavunja kibuku nawaza nileweje
Kisha niwaambie nilitaka nisemeje
Dj niko sawa, niondokee na tege(teege)

Nataka niwe chakari 
Mpaka munibebe bebe bebe
Vishuke vitu vikali
Vitachoma pigi na tege

Haikataii, kufa mara moja
Mimi laki moja(tee..)
Kesho kaba chaii, nipe tena moja 
Kama tuko sober checheto

I say yeah yeah yeah
Na wasimame de de de
Kwangu mambo bie bie bie
Wakiomba leta ge ge ge

Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo
Waiter, waiter, waiter, ongeza kama tulivyo

Kama hujalewa (njoo kwetu)
Sanga limegoma (njoo kweeetu)
Uwe umeishiwa (njoo kwetu)
Uta uta tesa (njoo kweeetu)
(eeh Dj irudie...)

Njoo kwetu...njoo kweeetu
Njoo kwetu...njoo kweeetu

Zungusha kama tulivyo, ongeza kama tulivyo
Zungusha kama tulivyo, ongeza kama tulivyo
 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment