Paroles de la chanson Unanikosha par Maarifa

Chanson manquante pour "Maarifa" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Unanikosha"

Paroles de la chanson Unanikosha par Maarifa

Mmmmh unanikosha, mmh haujanitosha
Bamia zipo gengeni, dodo ki ndani ya boxer
Unanikosha, mmh haujanitosha
Sura ka Fayvanny, shape ka Sanchoka

Mate yako vipi yakatae pipi
Anajikunja hadi namuuliza nikae vipi?
Ah hapo kisanga naenjoy
Ile jini katoka alafu mganga hupo hoi

Mmh napakata kwa muda nakapata
Mwenzenu nimezibiwa panya kadaka paka
Mi mtupu we nguo halisi
Sema chochote hata ukitaka kituo cha polisi

Unanikosha ka unadaka alafu unapima
Mimi unanikosha ka unawapa alafu unawanyima
Unanikosha ka unawaka alafu unazima
Alafu naingia mwenyewe mi bila kuchimba kisima

Naitwa Maarifa mtoto wa baba
Ile kumwita mtoto akaja
Nachakarika msoto wakaba
Venye unanikosha

Akinipa napokea sikai kona
Kama mapenzi uvogi sitaki kuona
Toka MMB, naitwa Maarifa

We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment