Paroles de la chanson Dunia par Khan Sillah

Chanson manquante pour "Khan Sillah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Dunia"

Paroles de la chanson Dunia par Khan Sillah

Sasa watu wote tuswali
Mpaka pagan na wavuta bangi
Hali ya sasa inatisha
Inaonekana tumezidi dhambi

Ona dunia ya leo
Kila kunapokucha ni vifo tu
Wazo la leo tumwambie Mola
Tusife kibudu

Mambo mchanganyiko 
Kutwa kucha dunia masikitiko
Ona Corona tatizo
Haichagui fukara vigogo

Mambo mchanganyiko 
Kutwa kucha dunia masikitiko
Ona Corona tatizo
Haichagui fukara vigogo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Ndoto za watu wengi
Zinapotea kwa hili gonjwa
Watoto shule hatuendi 
Sababu ya Corona

Mi naswali namuombea 
Daddy asije akanasa
Huwa nampenda wali
Kama nyuki na asali kisha nateseka

Ishakuwa so 
Vitabu vya dini navyo vishasema
Dalili za mwisho 
Sasa hizi ndizo zinaonekana

Mambo mchanganyiko 
Kutwa kucha dunia masikitiko
Ona Corona tatizo
Haichagui fukara vigogo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Dunia, au dunia imefika mwisho
Dunia, hebu someni maandiko
Dunia, huku kule masikitiko
Kukicha ni vifo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)