Paroles de la chanson Nafasi Nyingine par Joel Lwaga

Chanson manquante pour "Joel Lwaga" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nafasi Nyingine"

Paroles de la chanson Nafasi Nyingine par Joel Lwaga

Mavumbi umenifuta yote
Habari umebadili yote
Machozi umenifuta yote
Aibu umeondoa yote

Umeniita mwana niliyekuwa mtumwa
Umenisimamisha katika wingi wa neema
Na umeniketisha mahali pa juu sana

Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipenda tena bila kukoma(Nafasi nyingine)
Neema yako imeniinua tena(Nafasi nyingine)
Umenipa tena bila kuchoka(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Madaktari walisema sitapona tena
Walimu walisema nitafeli 
Ndugu na jamaa walisema nimeshindikana
Na kumbe wewe waniwazia mema

Umri uliposogea walisema ndoa si fungu langu
Nilipofiwa na mpendwa yule walisema sitaweza tena
Baada tu ya kufilisika, sikumwona wa kuniombea
Na kumbe ndani yao walifurahi niliyopitia

Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipenda tena bila kukoma(Nafasi nyingine)
Neema yako imeniinua tena(Nafasi nyingine)
Umenipa tena bila kuchoka(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Kweli umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipa(Nafasi nyingine)
Bwana umenipa(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment