Paroles de la chanson Hapo Ndipo par Jabidii

Chanson manquante pour "Jabidii" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hapo Ndipo"

Paroles de la chanson Hapo Ndipo par Jabidii

Hapo ndipo 
Hapo ndipo sauti ikaskika kutoka juu
Ikisema
Ikisema huyu mwanangu wa pekee

Eeeh msikilizeni, msikilizeni
Msikilizeni, msikilizeni

Father God me love you dearly
That's why me I praise you daily
Talanta umenipa me I don't take it lightly
You are great you are Almighty

Eeey ukanitoa kwenye devil's jail
Ukazivunja hizo devil's chains
Uka-take away my pain
You are great let your name be praised

So ukicheki nikidance ni ye amenipa chance
Ni ye amenipa chance na akanipa fans ndo mi na-give thanks 
So ukicheki nikidance ni ye amenipa chance
Ni ye amenipa chance na akanipa fans ndo mi na-give thanks 

Hapo ndipo 
Hapo ndipo sauti ikaskika kutoka juu
Ikisema
Ikisema huyu mwanangu wa pekee

Eeeh msikilizeni, msikilizeni
Msikilizeni, msikilizeni

When you have Jesus you will never go wrong
When you have Jesus you will never go down
When you have Jesus you woun't suffer for long
Ye hawezi kukuwacha solo

You never beg a man huwezi borrow
Ye ndo ana own masilver na magoro
Anakuinua ukiwa solo
Anakupa wisdom ka King Solo

Mungu ni mwema please tell somebody
Tell somebody
Mshow asisahau kuomba ngware
Kuomba ngware

Hapo ndipo 
Hapo ndipo sauti ikaskika kutoka juu
Ikisema
Ikisema huyu mwanangu wa pekee

Eeeh msikilizeni, msikilizeni
Msikilizeni, msikilizeni

Akamtoa mwana wake wa pekee
Aje duniani nisipotee
Akamtoa mwana wake wa pekee
Aje duniani anitetee

Akamtoa mwana wake wa pekee
Akamtoa mwana wake wa pekee

Mungu ni mwema please tell somebody
Tell somebody
Mshow asisahau kuomba ngware
Kuomba ngware

Hapo ndipo 
Hapo ndipo sauti ikaskika kutoka juu
Ikisema
Ikisema huyu mwanangu wa pekee

Eeeh msikilizeni, msikilizeni
Msikilizeni, msikilizeni

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment