Paroles de la chanson Sina par Harmonize

Chanson manquante pour "Harmonize" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Sina"

Paroles de la chanson Sina par Harmonize

Wasaaafi
Ayooo Laizer
Hhhm hhhm
Ujana ni maji ya moto
Yashaniunguza mi nataketea
Niliwakana watoto wangeniuguza sikutegemea
Na kama dunia tambala langu lishatoboka
Sina hata pa kulala nakesha kwa Kimboka
Wale marafiki niliokula nao
Na kunisifu sasa siwaoni
Eti sina kiki siendani nao kwa kuwa sina kitu mfukoni
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Na kumwaga radhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina mama)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Hhmm
Asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia
Misemo ya wahenga
Family ndugu lawama
Sikutaka karibia kwangu
Nipokee
Ponda mali eti kufa kwaja
(Heheheeee)
Kumbe nivukako mbali navunja daraja
Jua likizama nafsi nanyongea mawazo
Nani nimpe lawama
Peke yangu naongea hamnazo
Kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
Nikakesha kula bata najisahau
Napumua karadhi
Ohh sina(ooh yani sina)
Ohh sina(wa kunipa imani)
Ohh sina(ooooh sina)
Oooh sina
Iyeyeee
Ohh sina(hata wa kunifariji)
Ohh sina(kunipa moyo niendelee)
Oooh sina(Oooh sina mama)
Ohhh sina
Oooiyee
Pesa pesa
Pesa Pesa
Pesa Pesa
Pesa pesa
Pesa pesa
Pesa mfano wa poto (Pesa pesa)
Zinapepea sare ndo sindano (Pesa pesa)
Chunga yasije majuto (Pesa pesa)
Tena tekea igeni mifano

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment