Paroles de la chanson Kesho Kutwa par Ethan Muziki

Chanson manquante pour "Ethan Muziki" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kesho Kutwa"

Paroles de la chanson Kesho Kutwa par Ethan Muziki

Kwangu Kujua na kukua
Ni lengo la kila kukisha tua
Hivyo hata ukinizungusha
Sioni shida, Utanifundisha

Wakaribu wanatambua
Saa zingine maneno hunisumbua
Huwa yanikataa
Huwa yanihadaa

Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika

Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana

Wewe unanijua, gizani umenitoa
Sikudhani ningetoboa
Ni Mara ngapi nilikwama? 
Ni Mara ngapi? Umechagua niwe na we'! 

Na siezi ngoja kwenda kwenye goti
Nikuvishe pete dunia i-notice

Vile ninapaa, ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika
Na nitapita yie
Lakini we, ona ninapaa
Ndege ushanifanya
Ukipandisha bei, unajua nitafika

Hata Kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana
Hata kesho Kutwa, tutapendana
Na usiku kucha, tutapendana

Ooh, I promise to love you
You inspire me
You.... 

Oh yes, oh yes, oh yes! 
We've given love a chance
Niwe na we', na we'!
(love is always in us) 

Sometimes we fall in love 
Love us always in us
Sometimes we fall in love
Love is always in us

Hata Kesho Kutwa, 
Na Usiku... Na usiku
Kesho, kesho, kesho! 
Na usiku, tutapenda

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment