Paroles de la chanson CCM Magufuli par Enock Bella

Chanson manquante pour "Enock Bella" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "CCM Magufuli"

Paroles de la chanson CCM Magufuli par Enock Bella

Magufuli baba la wana
Simama wakuone
Wala utabasamu tu
Ye kamoyo kanatusakama
Ka ugonjwa wapone 
Imani simama kwako tu

CCM chama chameremeta
Wapinzani hoi kabisa
Washindwa furukuta aai

Yaani bila kusita
Kura yangu umepata
Sibabaiki kabisa
Tena wataisoma namba

Magu umekiwasha (Pilipili pilipili)
Wanaumia aah, yoyo (Kwelikweli kwelikweli)
Baba  umekiwasha (Pilipili pilipili)
Mpaka hali hawana tena ooh (Kwelikweli kwelikweli)

Kwako neno sina (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi kwao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Aah eeh (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi wao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Baba nchi mmeijenga
We Tanzania tunafurahi
Miundo mbinu yenye ubora
Si masihara tunaienjoy

Maendeleo kwa kila kata
Elimu afya havisumbui
Zisiwe mbio za kijiti
Wakatupora maadui

CCM chama chameremeta
Wapinzani hoi kabisa
Washindwa furukuta aai

Yaani bila kusita
Kura yangu umepata
Sibabaiki kabisa
Tena wataisoma namba

Magu umekiwasha (Pilipili pilipili)
Wanaumia aah, yoyo (Kwelikweli kwelikweli)
Baba umekiwasha (Pilipili pilipili)
Mpaka hali hawana tena ooh (Kwelikweli kwelikweli)

Kwako neno sina (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi kwao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Aah eeh (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi wao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Magufuli, baba piga kazi
Mama Samia Suluhu Hassan, piga kazi
Oooi ooh, Majaliwa piga kazi
RC Makonda, eeh baba piga kazi

Mashiruali ooh piga kazi
Tanzania ya leo, Tanzania ya wachapa kazi
CCM hoyee, CCM hoyee
Mapinduzi daima, leo CCM hoyee

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment