Paroles de la chanson Mungu wa Ishara par Emma Omonge

Chanson manquante pour "Emma Omonge" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mungu wa Ishara"

Paroles de la chanson Mungu wa Ishara par Emma Omonge

Baada ya kilio furaha sasa aah
Mafuta ya shangwe ondoa kuomboleza aah
Pahala pa dhihaka leta heshima
Majira na nyakati zote unabaki mwaminifu
Juu ya neema yako nashangaa ntakulipa nini
Uu mwaminifu ee Bwana, eeh Bwana,
U mwaminifu, ee Bwana.

Usiyepuuza kilio cha yeyote, wakubwa kwa wadogo
Maskini hata tajiri, sikio lako halibagui
Ukifuta makosa wala hukumbuki tena
Juu ya neema yako nashangaa ntakulipa nini
Uu mwaminifu ee Bwana, eeh Bwana,
U mwaminifu, ee Bwana.

Uinuliwe Mungu wa Ishara
Uinuliwe Mungu wa ajabu
Uinuliwe Mungu wa uweza
Uinuliwe Mungu wa ushindi

Uinuliwe Mungu wa Ishara
Uinuliwe Mungu wa ajabu
Uinuliwe Mungu wa uweza
Uinuliwe Mungu wa ushindi
Uinuliwe,Uinuliwe

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment