Paroles de la chanson Nangoja par Christina Shusho

Chanson manquante pour "Christina Shusho" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nangoja"

Paroles de la chanson Nangoja par Christina Shusho

Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are 
Umenifanya ning'are, Yesu 

Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are 
Wewe umenifanya ning'are, Yesu 

Wewe waitwa nuru eti nuru ya watu 
Ukiingia kwangu, mi nang'ara 
Ndani ya hiyo nuru, eti kuna uzima 
Ukiingia kwangu, nina uzima 

Uso wake Yesu, aliye sura yake Mungu 
Umeingia kwangu, mi nang'ara 
Nuru ya injili, utukufu wake Kristo 
Umeingia kwangu, mi nang'ara 

Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are 
Umenifanya ning'are, Yesu 

Umenifanya ning'are
Umenifanya ning'are 
Wewe umenifanya ning'are, Yesu 

Iinuka uangaze we, nuru yako imekuja 
Utukufu wa Bwana, umekushukia we 
Mataifa watakujia, wafalme watakuja
Utukufu wa Bwana, umekushukia we 

Iinuka uangaze we, nuru yako imekuja 
Utukufu wa Bwana, umekushukia we 
Mataifa watakujia, wafalme watakuja
Utukufu wa Bwana, umekushukia we 

Mataifa watakujia, wafalme watakuja
Utukufu wa Bwana, umekushukia we 

Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are, Yesu 

Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Wewe umenifanya ning'are, Yesu 

Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are, Yesu 

Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Umenifanya ning'are (Yesu Yesu)
Wewe umenifanya ning'are, Yesu 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment