Paroles de la chanson Nasema Asante par Chris Mwahangila

Chanson manquante pour "Chris Mwahangila" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Nasema Asante"

Paroles de la chanson Nasema Asante par Chris Mwahangila

Huu wimbo ni wimbo wa shukurani
Usikie Mungu wangu
Niseme nini kwako? Nilipe nini kwako
Sina cha kulipa mbele zako Mungu wangu

Huu wimbo, huu wimbo
Ni shukurani ni shukurani
Kwako Baba yangu
Asante Bwana, asante Bwana

Nasema asante, nasema asante
Nasema asante ewe Mungu wangu
Nasema asante, nasema asante
Nasema asante ewe Mungu wangu

Hakuna Mungu kama wewe, hakuna Mungu kama wewe 
Hakuna Mungu kama wewe ewe Mungu wangu
Hakuna Mungu kama wewe, hakuna Mungu kama wewe 
Hakuna Mungu kama wewe ewe Mungu wangu

Kwa kazi ya msalaba Golgotha uliniokota
Niseme nini mbele zako Bwana wangu nashukuru
Umenipa heshima, umefuta aibu 
Niseme nini mbele zako Bwana wangu nashukuru

Umekuwa wa kwanza, umekuwa wa mwisho
Alpha Omega baba ni wewe

Wewe ni Alpha na Omega, wewe ni Alpha na Omega
Wewe ni Alpha na Omega ewe Mungu wangu
Wewe ni Alpha na Omega, wewe ni Alpha na Omega
Wewe ni Alpha na Omega ewe Mungu wangu

Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho
Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho
Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho 
Ewe Mungu wangu

Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho
Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho
Wewe Mungu wa kwanza na wa mwisho 
Ewe Mungu wangu

Umerejesha yaliyoliwa Bwana
Na parare na madumadu
Umewaweka chini yangu
Maadui zangu wote

Umerejesha yaliyoliwa Bwana
Na parare na madumadu
Umewaweka chini yangu
Adui zangu wote Bwana wangu

Nasema asante, nasema asante
Nasema asante ewe Mungu wangu
Nasema asante, nasema asante
Nasema asante ewe Mungu wangu

Hakuna Mungu kama wewe, hakuna Mungu kama wewe 
Hakuna Mungu kama wewe ewe Mungu wangu
Hakuna Mungu kama wewe, hakuna Mungu kama wewe 
Hakuna Mungu kama wewe ewe Mungu wangu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment