Paroles de la chanson Don't Cry par Chidi Beenz

Chanson manquante pour "Chidi Beenz" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Don't Cry"

Paroles de la chanson Don't Cry par Chidi Beenz

Yeah yeah
1, 2, 3 to the 4 
Still Chidi kwa Chidi 
So chill do yeah

Moja kwenye kila komando
Sera ila ana sura kama vile bishoo
Nilipotoka niliposota ungeogopa angalau
Maneno nasahau vicheko nadharau
Kila siku kutoswa mazima na wadau
Vita na watu wazima usiku minyau 

Kushindana sauti gani kuskika
Yangu nzito sana kwenye speaker
Majogoo yanaanza wika 
Huku na hapa na kule tunaimaliza

Watu wanaanza kuamini
Watu wananikubali mimi
Wanataja jina langu mimi
Wanaimba nyimbo zangu mimi 

Chidi don't cry
Chidi don't cry
Chidi don't cry
Chidi don't cry

Story ya kufanya show bila malipo
Madawa yanafuata ugonjwa ulipo
Najigharika kila usiku na mchana
Mizuka na mizima haichoki kusimama

Epuka ya wazimu eka elimu kama mama
Kila siku nafunzwa kitemi zaidi ya jana
Utimamu kila siku uoga bora jana
Sitaki na jambo la leo tuongee ya jana

Matamasha nipo na banana
Backstage nimechuna wana
Rims kwenye beams, lightings all over
Never stop  keep it, keep it up kwenye ground

Watu wanaanza kuamini
Watu wananikubali mimi
Wanataja jina langu mimi
Wanaimba nyimbo zangu mimi 

Chidi don't cry
Chidi don't cry
Chidi don't cry
Chidi don't cry

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment