Paroles de la chanson Majengeka par Chege

Chanson manquante pour "Chege" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Majengeka"

Paroles de la chanson Majengeka par Chege

 

Vile nakunyamazishaga
Pale napokufikishaga
Shika kwa dharau(hahaha)
Sio kichumba kingine, ni za kichaga

Heey hey hey hey

Usilete na maneno 
Yakachonge barabara
Eeeh kama tutakosa pesa tutalala
Eeeh eeh sina gari tutapanda daladala

Beiby ogopa vya watu
Kuna majini watu
Siku hizi wanaitwa manyaku

Asije ingia shetani 
Kwenye penzi letu
Akaja kusambaratisha 
Ule utamu wetu beiby

Funga milango na komeo
Cha kwangu sio banda la video
Wakikurubuni kaza moyo

Oooh ooh manjegeka, manjegeka
Eeeh eeh manjegeka, manjegeka
Usilete manjegeka, manjegeka
Eeeh eeeh manjegeka, manjegeka

Wanaona wivu wajiue
Sumu inauzwa kanunue
Maneno maneno wanitue
Huwaga yapo kwenye kanga

Penzi tufunge na kamba
Kuwa pete niwe chanda
Inama ni kiss kidogo tu
Nilegeze naona ushakuwa dede

Inama nishike mapepe
Vyote vyako sileti manjegeka
Kuku mayai nitage
Zama chini safisha piga deki

Ooh daddy hushindwi we

Vile nakunyamazishaga
Pale napokufikishaga
Mpaka kucha unang'ataga
Sio kichumba kingine, ni za kichaga

Huh, ukinigusaga
Kinyume nyume naendaga
Aaah we baba
Dollar dollar naimwaga
Aaah beiby...

Funga milango na komeo
Cha kwangu sio banda la video
Wakikurubuni kaza moyo

Oooh ooh manjegeka, manjegeka
Eeeh eeh manjegeka, manjegeka
Usilete manjegeka, manjegeka
Eeeh eeeh manjegeka, manjegeka

Eeeh eeeh..
Eeeh eeeh..

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment