Paroles de la chanson Yatakwisha par Ben Pol

Chanson manquante pour "Ben Pol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Yatakwisha"

Paroles de la chanson Yatakwisha par Ben Pol

Na yatakwishaaaa.

mmmm... aah.eeh

Ala moja haikaiiii,...
panga mbili nimeaminiii.

Nilidhani nitawezaaa.,
kuwamudu wote wawilii.

Ye awepoo.,
nawe niwe waakoo.

Kwake nipatee.,
nawe nipate penzi lakoo.

Kweli sitowezaaa.,
kuacha uende nibaki niliee.

Bora kupotezaa.,
bali nipate moyo wako nituliee.

Kweli sitowezaaa.,
kuacha uende nibaki nilieee.

Bora kupotezaaa.,
vyote nipate moyo wako nitulieee.

Ulisema umeamua kunisameee...
(Na yatakwishaa)

Leo tena unataka kunitesaaa...
(Na kuniumizaa)

Jua kwambaa., leo mi mwenziooo...
(Kesho weweee)

Ona matesoo unayonipa mi mwenzioo.
(Ntapata kwa mwinginee)

Ulisema umeamua kunisameee...
(Na yatakwishaa)

Leo tena unataka kunitesaaa...
(Na kuniumizaa)

Jua kwambaa., leo mi mwenziooo...
(Kesho weweee)

Ona matesoo unayonipa mi mwenzioo.
(Ntapata kwa mwinginee)

(Linah)
Ukweli woote ulijificha hukuweka wazii.,

Fadhili zote kumbe bure nani atanienziiii??

Ningejuwaa, pendo lako wala nisingelipokeaaaa...,

Naumiaaa, penzi hili sitaweza kusheaaa...

(Ben Pol)
We ndo wa moyonii.,
siwezi ntafanya niniiii.

Kuishi mbali nawee.,
kwangu naamini kazi buuree.

Labda uhaii niutowee.,
(niwe chizi nipagawee)

Kama timamu nieleweee
(naomba unisamee)

Labda uhaii niutowee.,
(niwe chizi nipagawee)

Kama timamu nieleweee
(naomba unisamee)

Ulisema umeamua kunisameee...
(Na yatakwishaa)

Leo tena unataka kunitesaaa...
(Na kuniumizaa)

Jua kwambaa., leo mi mwenziooo...
(Kesho weweee)

Ona matesoo unayonipa mi mwenzioo.
(Ntapata kwa mwinginee)

Ulisema umeamua kunisameee...
(Na yatakwishaa)

Leo tena unataka kunitesaaa...
(Na kuniumizaa)

Jua kwambaa., leo mi mwenziooo...
(Kesho weweee)

Ona matesoo unayonipa mi mwenzioo.
(Ntapata kwa mwinginee)

Kwa mwingineeeee...

Kwa mwinginee...

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment