Paroles de la chanson Shukrani Zangu par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Shukrani Zangu"

Paroles de la chanson Shukrani Zangu par Aslay

Tena jua kali naiota
Inawaka
Siamini kama leo me baby unaniacha

Vibaya ivyo unanikosea
Kumbuka tuna watoto wadogo nani atawalea
Moyo mashine unatia misumali inakoboa
Au labda kuna makosa makubwa nilokufanyia
Si ndo wewe uliyeniahidi
Utabaki na mimi milele
Mungu anaushahidi
Au mwenyewe eh umefanya makusudi
Nia yako unataka univue ili ufaidi
Ona mose analia ah mama rudi mama rudi
Oh baby baby uwalee watoto wako
Kanachi analia ah mama rudi mama rudi
Oh baby baby uwalee watoto wako
Tatizo si mimi
Tatizo moyo wangu
Unakupenda wewe unitaki mwenzangu
Kingine kikubwa ni watoto wangu
Ebu rudisha moyo uogope mungu
Tena ukikopa nitalipa
Usiondoke mama tuyajenge makopa
Kikopa kopa nitalipa eh
Usiondoke mama tuyajenge makopa
Baby wa kitandani uwape maziwa watoto wanywe mama eh
Ugomvi wa nini wakati mi na wewe tushaanza kufanana eh
Tema mate chini mambo mengine tumwachie maulana eh
Wewe na mimi mpaka kesho mosi eeh

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment