Paroles de la chanson Kwa Raha par Aslay

Chanson manquante pour "Aslay" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kwa Raha"

Paroles de la chanson Kwa Raha par Aslay

Umenipukutisha, umeniacha kama bwege
Umenipa ugonjwa kama ule degedege mmh,
Sina hata thumni ya kununua chipsi zege,

Nikianza kulia machozi yanajaza debe, debe
Imani na hitaji la moyo wako sikulijua, kumbe
Kwangu ulitaka kipato ukakimbia aah,
Ulivyopata kile ukitakacho ukazingua weewe,
Kumbe tapeli wa mapenzi me sikujua, aii weh
Masura wa moyo wanguu mama ndiye,
uliyeniacha mimi njia paanda,
umeondoka na moyo wangu maama, wakati mwenzako nilishakupendaa
Ulipenda kuforce hat kama sitaki yani bundle lako la kutumia unataka
laki, ah, umeshanifilisi eti haunitaki,
sawa mwana kwenda me nitapata Mungu akiipeendaa
Kwa rahaa (saawa) kwa raha zako, (kwa rahaa) kwa rahaa
Ponda tu mali zangu we dadaa, kwa rahaa,
kwa raha zako (kufa kwaja) kwa rahaa atanilipia
Mungu baba baba, iye, kwa rahaa, kwa raha zako kwa rahaa
Ona sasa umeniachia mdeni kwa yule mama
Sikudhani kumbe ulikopaga lotion naumbuka huku
Umetupa jiwe gizani kisha limenipata mimi,
we mbona huna shukurani naumbuka huku,
kichwa boga zuga zuga mpaka dagaa nashindwa
kukopa aaeeh, madeni uloniachia nashindwa kulipa ee
We masura wa moyo wangu maama ndiye uliyeniacha mimi njia
paanda umeondoka na moyo wangu maama wakati mwenzako nilishakupendaa
Ulipenda kuforce hata kama sitaki,
yani bundle lako la kutumia unataka lakii,
na umeshanifilisi eti haunitaki,
sawa mwana kwenda me nitapata Mungu akiipeendaa
Kwa rahaa (saawa) kwa raha zako(kwa rahaa),
kwa rahaa ponda tu mali zangu we dadaa, iye iye,
kwa raahaa(eyayayaah),
kwa raaha zako (kufa kwaja) kwa rahaa (atanilipia
Mungu baba baba) kwa rahaa, kwa raha zako, kwa rahaaa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment