Paroles de la chanson Shikisha par Arrow Bwoy

Chanson manquante pour "Arrow Bwoy" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Shikisha"

Paroles de la chanson Shikisha par Arrow Bwoy

Onnananaah
Them call me Arrow Boy, ah me say oh yeiiyeah
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Napenda unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa na kichaa sawa
Eeeyyy na kichaaa
Unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa na kichaa sawa
Mmmhhhmmmhh na kichaaa
Wacheze kamare
Baby usiseme no pitishie waist
Stima chini ya maji walambe umeme umeme
Ukifika kejani, chuna majani
Changu ni chako usiogope darling, you are my honey
Cheza kambumbu wapige kandanda
Waachie misemo ya khanga
Shika kachupa nishike kaganja
Baibie tukule nyama karanga
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Napenda unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa na kichaa sawa
Eeeyyy na kichaaa
Unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa na kichaa sawa
Mmmhhhmmmhh na kichaaa
Cheza
I've been waiting for this for a very long time baby
Jua ikawaka kukanyesha na kukakauka tena baby
So let me take you to banana island
Let me show you what you've been missing
I'll pamper you with designer when you
Do like this and you do like that eeh
I'll take you to banana island
Let me show you what youve been missing
I'll pamper you with designer when
You do like this and you do like that
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Baby cheza
Kill him with the love baby kill him with the loooove
Dollar kwa meza
Signal nipe signal
Napenda unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa na kichaa sawa
Eeeyyy na kichaaa
Unavyo shiki shikisha sawa
Moto umeuwakisha sawa
Unafanya napandwa 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment