Paroles de la chanson Mwenye Enzi par Ali Mukhwana

Chanson manquante pour "Ali Mukhwana" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mwenye Enzi"

Paroles de la chanson Mwenye Enzi par Ali Mukhwana

Ni ni ni
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)
Tunainama mbele zako tukisema
E wewe mungu wastahili
Wewe ndiwe kiongozi mwema
Mfariji mwema twakwabudu
Nikisema mimi ni msafi
Nitakua mimi na jidanganya
Wewe ndiwe kiongozi mwema
Mfariji mwema twakwabudu
(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)

Wewe ndiwe kiongozi wangu
Tena mchungaji wangu wa karibu
Wewe ndiwe kiongozi wangu
Tena mchungaji wangu wa karibu

Mimi ni nani na bwana wangu nisikusifu
Mimi ni nani na bwana wangu nikuabudu
Uliniumba mungu wangu kwa mfano wako
Tunasema bwana wangu uinuliwe  

(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)

Halleluyah
Nani kama wewe Yesu
Nani kama mwenye upendo kama wako
Nani aliyeumba mwanadamu
Kwa mfano wake Yesu
Nani mwenye neema kama zako hee
Popote  ulipoenda Yesu ulitenda mema
Tenda mema siku ??? mfalme wa amani
Nani kama wewe unastahili kuabudiwa
Unastahili kuabudiwa unastahili

Halle, halleluyah
Wastahili
Halle, halleluyah
Wastahili
Halle, halleluyah
Wastahili
Halleluyah Wastahili
Halleluyah Wastahili

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment