Aller au contenu principal

Paroles de la chanson Aye par

Enheee
Naitwa zuchu zuhura
Kiboko ya vigagula
Nakalisha vikaptula
Nawafanya kama sungura
Very good

Bebe, shika uko
Hapo hapo hapo
Uya, uyayo
Iyaa, iyayooo
Bebe, shika uko
Hapo hapo hapo
Uya, uyayo
Iyaa, iyayooo
Eh ambuli chi chi chi (ehnn)
Ambuli cha cha cha (ehnn)
Hamnishikikiii (ehnn)
Nimewachapa chapa (ehnn)
Chapa chapa chapa, cha cha cha cha
Aayaa twende

Kibiriti akitingishiki
Huweze kunibania riziki
Ankali sitoi kiki
Na level zangu hufiki
Tulia, wewe, sikiliza
Oyaaa

Ayeeee (ayaaaaa)
Aoooooo (aoooooo)
Ayeeee (ayeeee)
Aoooooo (aoooooo)
Iyayo
Uyayo
Iyayo
Filter kibaoo
Nyodo za nini asa
Mtu mwenyewe kumbe ai
Embu toka apa
Haina kikao
Kinyago kigwasa
Ukileta mdomo mdomo
Nakupiga mimbata
Nakuchukia nakuchukia
Nakuchukia nakuchukia
Nakuchukia nakuchukia
Em toka apaa

Kibiriti akitingishiki
Huweze kunibania riziki
Ankali sitoi kiki
Na level zangu hufiki
Tulia, wewe, sikiliza
Oyaaa

Ayeeee (ayeeee)
Aoooooo (aoooooo)
Ayeeee (ayeeee)
Aoooooo (aoooooo)

Kibiriti cha cha chuma
Cha bati kimeungua
Kibiriti cha cha chuma
Cha bati kimeungua
Very what?
Very good

Paroles.net dispose d'un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection du moment