Paroles de la chanson Peke Yako par Wyse

Chanson manquante pour "Wyse" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Peke Yako"

Paroles de la chanson Peke Yako par Wyse

Kwenye kitabu changu cha mapenzi
Kurasa ya kwanza iko picha yako wewe
Kutwa naomba kwa mwenyezi
Nisije kukukwaza ukaniacha mwenyewe

Umeuviringisha moyo wangu
Siwezi bisha ee 
Umetakatisha akili yangu
We ndo wa maisha oh wee

Hata kama wakisema
Sitajali kamwe
Chanda changu chema
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Mimi kama nikikosa unanipa moyo
Unanisihi tusichoke kutafuta
Tulivyo kama mapacha tukiwa wote
Shida zangu ndio zako zikinikuta

Ukiniangalia mwenzako nyang'anyang'a 
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Nafurahia nipende sana sana oyee

Hata kama wakisema
Sitojali kamwe
Chanda changu chema 
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment