Paroles de la chanson Moyo par Vanessa Mdee

Chanson manquante pour "Vanessa Mdee" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Moyo"

Paroles de la chanson Moyo par Vanessa Mdee

Vee money on the track yeah
Its S2kizzy beiby 

Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Nakaa na wewe, natembea na wewe
Nalala na wewe, bado unanikosea

Zungumza nami mchana(lalala)
Zungumza nami usiku(lalala)
Kama haifai hata ndotoni tu
Mmmh mmh

Usishindane na kichwa(aaaah)
Tumalizane yakaisha(aaaah)
Moyo nirudishie maisha(aaaah)
Mtupu mtupu nimekwisha

Moyo unanikosea 
Moyo unanikosea
Moyo unanikosea, moyo 
Moyo unanikosea

Moyo unanikosea(we moyo)
Moyo unanikosea(sasa mbona unanitorture?)
Moyo unanikosea(we moyo)
Moyo unanikosea(sasa mbona unanitorture?)

Umeniadhibu chozi tiba yangu
(We haya)
Umeziharibu zote hisia zangu
(Si sawa)

Moyo mbona umenitoa chambo ooh?
Moyo we hunanga chanjo ooh
Moyo umenifanya pango ooh
Moyo huishiwi mipango ooh

Waongo wote unawaleta kwangu
Wanaocheat nao ni wa kwangu
Walevi wote nao ni wa kwangu
Mbona unajitesa aah?

Usishindane na kichwa(aaaah)
Tumalizane yakaisha(aaaah)
Moyo nirudishie maisha(aaaah)
Mtupu mtupu nimekwisha

Moyo unanikosea 
Moyo unanikosea
Moyo unanikosea, moyo 
Moyo unanikosea

Moyo unanikosea(we moyo)
Moyo unanikosea(sasa mbona unanitorture?)
Moyo unanikosea(we moyo)
Moyo unanikosea(sasa mbona unanitorture?)

We moyo sasa mbona unanitorture?
(Mbona unanitorture?)
We moyo, sasa mbona unanitorture?
We moyo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)