Paroles de la chanson Lazizi par Sauti Sol

Chanson manquante pour "Sauti Sol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Lazizi"

Paroles de la chanson Lazizi par Sauti Sol

Lazizi wangu we
Zawadi nono kutoka mbinguni
Nakuwaza my baby (Nakuwaza my baby)

Nikikuwaza usiku silali

Nikikuona na wengine nashikwa na wivu
Naomba unipe number yako nikuvutie wire
Nikupeleke Java
Tunywe kahawa
Tukizubaa dubaa dubaa

Mukhali wanje we
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Ndakhuyanza my baby (Ndakhuyanza my baby)
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye

Zunguka zunguzukane
Nikitafuta kama wewe
Mi nafeel so nice
Unanipa mi amani
Mbele Baby
Sioni njia bila wewe
wewe... eeeh Lazizi

Mazoe manana (Mazoe manana ah)
Kadonangaeuta na lola, Na
Kanisakayo sheri nanga
Soki yo tena nzanga kapongi (Mpenzi)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment