Paroles de la chanson Asante sana baba par Sauti Sol

Chanson manquante pour "Sauti Sol" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Asante sana baba"

Paroles de la chanson Asante sana baba par Sauti Sol

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu

Nafanya kazi usiaibike (x2)

Sintokusahau maishani baba yangu
Umenielimisha, rekebisha kanipa mawaidha
Baisikeli kanipandisha
Nguo za kifahari kanivalisha
Nayo majuto ni mjukuu
Tega sikio usiseme I wish I knew

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike (x2)

Huuuuuuuu baba heiiii

Desturi na mila [umenifundisha]
Kulinda familia [aaaaahhhhhh]
Kuheshimu bibilia [bibilia kabisa]
Kumtunza malkia [maaaaaama]
Mtu mwenye heshima [na kila hekima]
Mfano mwema [aaaaaaahhhh]
Kwa kupanda na kulima [umenishughulikia]
Mfano mwema, [babaaaaaaaa]

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike
Baba baba baba baba [yangu]
Asante sana baba yangu [ni wewe]
Umenipa mafunzo ya ajabu [eeeeeehhh]
Kunifunza kweli ni taabu [ni wewe baba]
Nafanya kazi usiaibike

Aaaaaaaaaaaaaaaaa(x3)

Uuuuuuuuuuuuuuu (x2)

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike (x2)
Aaaa asante
Daddy ooooh
Dadddy ooododoooe
Wewe ni baba [Daddy ooooh]
Wewe ni baba [Ooooooh]
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba [Weweeeee weweeeee]
Wewe ni baba yangu
Wewe uweiyeiye
Wewe ni baba
Wewe weweeee
Wewe ni daddy daddy daddy daddy daddy daddy
Wewe ni baba

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment