Paroles de la chanson Naolewa par Ruby

Chanson manquante pour "Ruby" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Naolewa"

Paroles de la chanson Naolewa par Ruby

(Fraga got the recipe)

Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia
Ila nikadharau, nikapuuzia
Leo kwao kafa nyau, yanawanukia
Kwetu twafinya pilau, yametimia

Oooh wanjara, walete bunyero ooh
Mi nataka kulimwaga razi(Na makagheroo)
Waite na mapaparazi (Wapate kero)
Wale wenye magho ya nazi(Bando la jero)

Wapate vya kuperuzzi

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi 
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie(Ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja
Oooh subira aaah, mbele inafaraja
Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii
Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

Aii yuko wapi mamie mwali 
Aje anibebe mgongoni
Amuite daddy mwali waje
Wayarudi ya msondondo

Bibi anacheka, zawadi kaleta
Na kitenge na mkeka 
Na kibunda cha pesa
(Aaah aah aaah)

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi 
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie(Ooh sheba)
Naolewa, naolewa mie

Sina sina makosa(Mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa(Utajiua)
Sina sina makosa(Mtoto wa mwenzio)
Sina sina makosa(Utajiua buree)

Buree, bureee...

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment