Paroles de la chanson Dakika Moja par Ruby

Chanson manquante pour "Ruby" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Dakika Moja"

Paroles de la chanson Dakika Moja par Ruby

 Oooh oooh
Hey yeiii yeah

Sukari imegeuka chumvi
Aka amegeuka chui
Matope yamekuwanga vumbi
Maziwa yamegeuka tui

Upendo na baba ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana 
Upendo hauna dhamani, hey

Upendo na mama mama ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana
Upendo hauna dhamani

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Aaaah....

Naona kama me nachomwa na jua
Usiku mkali, na maradhi naugua
Unanichanganya, navyo sema  nazingua
Kisasi na salary, me nawaza nawazua

Aaah, si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba
Si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Hee
Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake 
Na mabaya yamo humo

Dunia ina maajabu yake 
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Mwambie azibe nyufa
Akichelewa nitakufa

Hey
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment