Paroles de la chanson Usiyempenda Kaja par Rosa Ree

Chanson manquante pour "Rosa Ree" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Usiyempenda Kaja"

Paroles de la chanson Usiyempenda Kaja par Rosa Ree

Yeah! 
(Jacko baby)

It's Rosa Ree
I'm the godess you can never be god
I gave you time to hit half of my boss
You came me for find Cardi do my Minaj
And so I still rule over fulltime

Wameshika adabu waliotaka kunishika
Wamekufa wote waliotaka kunizika
Alafu ka unaamini utaweza kunipita
Basi anza kuamini aliyekuzaa bikra

The best rapper but I dont say shit
Straight to the point like am regency
And non of them of them can do it like me

Mugamba wanaruka na kukanyagana
Unataka kwenda peponi unaogopa kiama
Mnajiita wakali mnadanganyana 
Kwenye sherehe yao baa, kaingia Osama

Huh usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja

Nikisema nina nguvu za kiume
Kuna watu wanabisha 
Ila kiukweli kuna muda na dick (Kiruu)
Na kama mnabisha bisha 
Wanaume mnapakuliwa hivi nani anawapika?

Yoh na kwenye usawa huu utamwogopa nani?
Ukiambiwa naenda kula bata zangu Irari
Na huwa siogopi kutupa jiwe gizani
Ndo maana tawi la benki halina majani

All I do is use a p&ssy ass bitch
And I got a fat p&ssy up in my pants bitch
Go get a pass and get me rid at that itch
When I be in homelands go and get to the beach

Mugamba wanaruka na kukanyagana
Unataka kwenda peponi unaogopa kiama
Mnajiita wakali mnadanganyana 
Kwenye sherehe yao baa, kaingia Osama

Huh usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja
Usiyempenda kaja, kaja

Wape taarifa usiyempenda kaja (Kaja kaja)
Mkiongea utumbo mi naongea paja (Kaja kaja)
Leo nawachinja kinagaubaga (Kaja kaja)
Uliyempa umbea huko nyuma kakutaja (Kaja kaja)

Kaja (Kaja kaja)
Kaja (Kaja kaja)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment