Paroles de la chanson Walionicheka par Ringtone

Chanson manquante pour "Ringtone" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Walionicheka"

Paroles de la chanson Walionicheka par Ringtone

Masimango na maneno makali 
Yalikuwa ndio fungu langu
Shida, taabu
Ziliumiza moyo wangu

Masimango na maneno makali 
Yalikuwa ndio fungu langu
Maumivu ya moyo
Yaliinamisha nafsi yangu

Asante Yesu
Kwa kuwa uliiona taabu yangu
Nakushukuru
Kwa kuwa uliona msiba wangu 

Asante Yesu
Kwa kuwa uliiona taabu yangu
Nakushukuru
Kwa kuwa uliutazama msiba wangu eh

Sasa ona ninaendelea
Walionicheka wanaona haya
Asante Yesu kwa kunishindia
Walionicheka wanaona haya

Walikuwa ni mahypocrity
Hawakuwa marafiki wangu wa kweli
Ikifika wakati wa mahitaji
Wananihepa manze kila wakati

Hawakutaka mi niokoke kabisa
Walitaka mi nichanganye kabisa eeh
Ona vile mi nang'ara kabisa
Ju nilifuata Yesu kabisa

Yesu wangu nakufuata we
Wacha wao waende na rieng
Yesu wangu nakufuata we
Wacha wao waende na rieng

Sasa ona ninaendelea
Walionicheka wanaona haya
Asante Yesu kwa kunishindia
Walionicheka wanaona haya

Asante Yesu
Wingi wa huruma
Umenishika mkono
Mbele naendelea

Eeeh Yesu
Wingi wa huruma
Umenishika mkono
Ninaendelea

Uko nami(Uko nami) 
Uko nami baba(Uko nami)
Uko nami(Uko nami) 
Uko nami baba(Uko nami)

Waonyeshe(Waonyeshe)
Waonyeshe(Waonyeshe)
Waonyeshe(Waonyeshe waone)
Waonyeshe(Uko nami eeh...)

Uko nami(Waonyeshe, waonyeshe)
Uko nami(Waonyeshe, waonyeshe)
Waonyeshe waone 
Waonyeshe(Uko nami eeh)

Waonyeshe baba uko nami
Mwokozi kwako sihami
Matatizo sipati
Ju sasa wewe uko nami

Amina, amina, amina.....
Amina, amina, amina.....

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment