Paroles de la chanson Wamoto par Rich Mavoko

Chanson manquante pour "Rich Mavoko" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wamoto"

Paroles de la chanson Wamoto par Rich Mavoko

(Moko!)

Kama sanamu ukicheka
Una sura ya mdoli
Siwezi kuneng'eneka 
Kwako mateka kigoli

Na sipagawi kiunoni shanga
Umbo umejaliwa
Uko kibada nitauza shamba
Ama ushanunuliwa

Usije tanga tanga kwa waganga
Mwisho ukaibiwa
Mpaka varandani tulicheze vanga
Toto amejaliwa

Mi natamani kumshika (Wamoto huyo)
Asa nikimuona (Wamoto huyo)
Akikatiza kwa mtaa (Wamoto huyo)
Moyo unanisonona (Wamoto huyo)

Tena alivyoumbika (Wamoto huyo)
Toto nyama kanona (Wamoto huyo)
Sasa mimi nitafanyaje (Wamoto huyo)
Naishia kumuona (Wamoto huyo)

Anakomesha sista duu
Wanamuita mama yao
Namtamani kwa bedi tuu
Kanikomesha kwa viwalu

Hayo macho ukimwona
Kama amekula kungu
Alipofumuka anashona
Huko nyuma kama nundu

Na sipagawi kiunoni shanga
Umbo umejaliwa
Uko kibada nitauza shamba
Ama ushanunuliwa

Usije tanga tanga kwa waganga
Mwisho ukaibiwa
Mpaka varandani tulicheze vanga
Toto amejaliwa

Mi natamani kumshika (Wamoto huyo)
Asa nikimuona (Wamoto huyo)
Akikatiza kwa mtaa (Wamoto huyo)
Moyo unanisonona (Wamoto huyo)

Tena alivyoumbika (Wamoto huyo)
Toto nyama kanona (Wamoto huyo)
Sasa mimi nitafanyaje (Wamoto huyo)
Naishia kumuona (Wamoto huyo)

Mi bado sijatulia (Nazichanga changa)
Usipagawe jina (Nazichanga changa)
Nitaunda hata rubia (Nazichanga changa)
Ili kukata bima (Nazichanga changa)

Nafanya tu nikupate (Nazichanga changa)
Ili niwe na wewe (Nazichanga changa)
Afya nikuvishe pete (Nazichanga changa)
Uje nyumbani Kinole (Nazichanga changa)

Baby!

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)