Paroles de la chanson Lalama par Rich Mavoko

Chanson manquante pour "Rich Mavoko" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Lalama"

Paroles de la chanson Lalama par Rich Mavoko

Kama ni bado hujapata zangu salamu
Basi kipenzi wangu sikia
Nahisi maumivu kwa ndani navuja damu
Punde si punde nitateketea

Lati uijibu wewe
Kipendacho roho nyama mbichi nielewe

Usitupe jongoo na mti
Na mti wake na mti
Umemsusa uncle auntie
Auntie yake auntie

Nazidi kukosa imani
Nilishawahi kuumizwa
Wivu hauna dhamani
Unahisi naigiza

Kilichobaki ni kwangu tu
Kulama lalama lalama
Nashindwa kujiuguza
Kulama lalama lalama

Sababu yako tu mami
Baby boo mami
I need you mami
Baby boo mami

Wasinyanganye wanipunje
Navyokosa kukuona nakosa raha
Niende kwa mganga nikufunge
Huenda nitapona ukichaa

Kuipoteza dhahabu 
Bila sababu sioni
Labda niandike kitabu
Nayostaajabu kwa mboni

Nakesha nalia
Nalia, we unajua
Nikipiga unanikatia
Unanikatia mi naumia

Usitupe jongoo na mti
Na mti wake na mti
Umemsusa uncle auntie
Auntie yake auntie

Nazidi kukosa imani
Nilishawahi kuumizwa
Wivu hauna dhamani
Unahisi naigiza

Kilichobaki ni kwangu tu
Kulama lalama lalama
Nashindwa kujiuguza
Kulama lalama lalama

Sababu yako tu mami
Baby boo mami
I need you mami
Baby boo mami

Najua unajua 
Nishamtuma njiwa
Unajua baby
Sema ka naibiwa
Waniknow sema ka na aah
Baby yeah yeah ..
Baby yeah yeah ..

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)