Aller au contenu principal

Paroles de la chanson Wastahili Bwana par Reuben Kigame

Paroles de la chanson Wastahili Bwana par

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulikufa msalabani
Niokolewe
Wastahili Bwana

Wastahili Bwana

Wastahili Bwana
Ulibeba mizigo yangu
Sasa ni huru
Wastahili Bwana
Uliacha utukufu wako
Ukaishi kati yetu kwa mapenzi
Ulipatwa na simamzi ulinifia
Wastahili Bwana

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulikufa msalabani
Niokolewe
Wastahili Bwana

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulibeba mizigo yangu
Sasa ni huru
Wastahili Bwana

Uliwekwa kaburini Bwana
Ukafufuka wewe Bwana wangu
Ulipaa juu mbinguni na watawala
Nakusifu Yesu

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulikufa msalabani
Niokolewe
Wastahili Bwana

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulibeba mizigo yangu
Sasa ni huru
Wastahili Bwana

Ulibeba
Ulibeba mizigo yangu
Sasa ni huru
Wastahili Bwana

Wastahili
Wastahili Bwana
Wastahili
Wastahili Bwana 

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulikufa msalabani
Niokolewe
Wastahili Bwana

Wastahili Bwana
Wastahili Bwana
Ulibeba mizigo yangu
Sasa ni huru
Wastahili Bwana
Wastahili
Wastahili Bwana

Paroles.net dispose d'un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection du moment