Paroles de la chanson Mkono wa Bwana par Reuben Kigame

Chanson manquante pour "Reuben Kigame" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Mkono wa Bwana"

Paroles de la chanson Mkono wa Bwana par Reuben Kigame

Mengi mazuri tumeyaona
Mungu umetenda 
Ni kweli we muweza
Ulitamka vitu vikawa 
Neno tu latosha 
Ukisema umetenda 
Bahari shamu Isiraeli 
Ah uliwavusha
Kawatoa utumwani
Watumishi wako umewapa
Yote waombayo 
Ikiwa umependezwa 
Uamulo hakuna wa kulipinga
Hakika we ni Mungu wa vyote 
Unatawala dunia na vilivyomo
Makuu umeyatenda Jehova 
Tumeuna mkono wako Bwana 
Matendo yako Bwana ni makuu mno 
Umetutoa mbali
Ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi 
Chini hata juu
Watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako
Milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Ona 
Msalabani ulitufia
Hm ulitupenda 
Dhambi zetu ukabeba 
Baraka zako tuliziomba kweli tumeona
Hakika unabariki 
Hata vipaji we ndo hutoa
Umetuwezesha 
Tunaimba na kusifu
Walio haki hutowaacha
Uliwaahidi 
Hata mwisho wa dahari
Hm watu wako umewapa mamlaka 
Kwa jina lako Yesu
Waponye 
Na huna ubaguzi 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment