Paroles de la chanson Bwana Ni mchungaji par Reuben Kigame

Chanson manquante pour "Reuben Kigame" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Bwana Ni mchungaji"

Paroles de la chanson Bwana Ni mchungaji par Reuben Kigame

Bwana Ni Mchungaji wangu
Sitapungukiwa Kitu
Hulaza kwenye majani mabichi
Hunongoza Kwa maji Matulivu
Hunihuisha nafsi yangu
Huniongoza kwa njia Za Haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa wewe u nami
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Gongo lako na Fimbo yako
Vinanifariji mimi
Huandaa meza
Mbele yangu
Machoni pa watesi wangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zita nifuata mimi
Nitakaa Nyumbani
Mwa bwana
Siku zote za maisaha yangu

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment