Paroles de la chanson Vumilia par Rayvanny

Chanson manquante pour "Rayvanny" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Vumilia"

Paroles de la chanson Vumilia par Rayvanny

Niwe kibatarim ama mwanga wa mshumaa
Kwenye kigiza cha jioni
Pika dona ngangarii
Tulishushie na dagaa
Ukishatoka sokoni
Kisha tufunge safari
Itayo chukuwa masaa
Utokwe jasho mgongoni
Na vile nina machachari
Nikikushika kibaa
Utamu wa dicki nondoni

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida nadona la chini niambiee
Wenye mapesa vogi na ma lamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini utuliee
Sambusa kachorii pamia aaee
Tukipata pesa ni sangala
Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala
Kwa hiyo mama usijali Vumilia iyeeee
Vuumilia iye iye
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi
Vumilia
Vuumilia
Vumilia
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Najuwa unatamani mama high waist
Make up weaving za dubai na china
Ule pamba nyepesi setaaar
Chain ya dhahabu yenye jinnaa
Oooooh, basi mama vumilia
Nakupigania mpenzzzzi subiria
Oooooh, acha kujiinamia
punguza kulia tatusaidi
Ati mapenzi si moyo
Mapenzi ni pesa
Kama kweli masikini yatatutesa
Uchoyo usinipe pressure
Naomba unipendee

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida nadona la chini niambiee
Wenye mapesa vogi na ma lamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini utuliee
Sambusa kachorii pamia aaee
Tukipata pesa ni sangala
Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala
Kwa hiyo mama usijali Vumilia iyeeee
Vuumilia iye iye
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi
Vumilia
Vuumilia
Vumilia
Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Les plus grands succès de Rayvanny