Paroles de la chanson Teamo par Rayvanny

Chanson manquante pour "Rayvanny" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Teamo"

Paroles de la chanson Teamo par Rayvanny

[Rayvanny]
Mmh, namshukuru mola kanijalia
Mrembo wa sura hadi tabia
Na nina kila sababu ya kujivunia
Iyeeeee

Yaani kila corner umetimia
Napenda manukato ukinukia
Ukinigusa ndio nazimia
Iyeeee

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae
Mi nawe

Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche na hodha ee
Mi nawe

Una Guu la beer wala huna fito
Chuchu zako hunitoa majicho
Hata uvae gunia bado uko simple
Unapendezaa

Shepu sinia kiuno kijiko
Chumbani wanipa madiko diko
Ukifungua Coke yaani ni mafuriko
Umeniweza

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

[Messias]
???

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

[Rayvanny]
Utamu wa asali
Najilamba lamba tu
Nakukupoteza mi sidhani
Aaaaa

Twende Zanzibari
Kwenye Marashi ya Karafuu
Tukale na pweza forodhani
Aaaaaa

Yaani kama ndege na wanae
Tuogelee na tupae
Kwenye kiota tukakae
Mi nawe

Uje nikubebe washangae
Wenye uchungu wakazae
Tukicheza kuche kuche na hodha ee
Mi nawe

Ooh my baby Teamo
Teamo
Ooh my baby Teamo
Teamo

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Les plus grands succès de Rayvanny