Paroles de la chanson Acha waseme par Otile Brown

Chanson manquante pour "Otile Brown" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Acha waseme"

Paroles de la chanson Acha waseme par Otile Brown

Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni mola lazima ntapata
Ila kama ni mola lazima ntapata

Bwana Shetani muongo , muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo ndugu we!
Mbona umejawa na kinyongo ndugu we!
Bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
Mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio Yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa

Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu

Acha waseme , Acha waonge
Acha waseme , Acha waonge

Wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
Unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
Chochote nachofanya unanielewa makosa
Lolote nachofanya unanihukumu vibaya
Wapi nilipokukosea ningependa unieleze
Wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
Maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
Wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa

Ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
Ooh wema Wangu ndo nguzo yangu
Ooh wema Wangu ndo nguzo yangu

Acha waseme , acha waongee
Acha waseme , acha waongee
Acha waseme , acha waongee
Acha waseme , acha waongee

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)