Paroles de la chanson Now you know par Nyashinski

Chanson manquante pour "Nyashinski" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Now you know"

Paroles de la chanson Now you know par Nyashinski

Huyo ni fala mgani anaweka ma mngari
Kwa list juu ya ferrari yeah
Ana degree au ni journalist tu juu ana list whoop
Naskia wakiuliza ule boy wetu alienda wapi
Amepotea ka zile mbegu watu walipanda na kanyari ye ye yeah
Na naskia inasemekana
Ati rap zangu hukam na mkazo na ile utamu ya reggae mama
Ma ordinary wanankubali na hata watiaji hawaezi kana
Kuna wale hupenda sauti yangu na iko wale husengenyana
Mama mama
Kijana wako amepotea
Ni maskio tu ye anatoboa huku ndugu zake wakiendelea
Mwenyezi pekee anaeza muokoa kimaisha amelegea
Ingawa hatuoni akitoboa bado twazidi kumuombea amina
Yeah sionangi haja ya ufisi
Sina njaa najua mpishi
Sijai fanya kazi ya ofisi
Sijai lala ka sijadishi
Sijarap kitu ka kutoka 06 ivi
Trust me siezi rust mimi
Ata niache mziki miaka hamsini
Nikirudi bado nawacrush nyinyi
Niko first mi ndani ya party
Na nguo rasmi imepigwa pasi
Hapo katikati napiga mic check
Juu niko party na niko night shift
Nilikuwa busy sikuwa najificha
Clearly you rappers missed your teacher
Vitu mnaandika zinachoma picha
Nikiwish singewacha kuwafundisha
Sauti naskia ni
Don't waste your time wishing you're too proud my baby
Too proud to wish they had an easy way out
Let times get tough so they remember you're a blessing
When life is good they will forget to say
Naulizwa mbona niliacha mziki
Ati nilikuwa mkali juu ya mic na namissiwa na mashabiki
Niliacha game mapema hata kabla refa hajapiga firimbi
Bila kwaheri ati walishtukia tu ati kuna klepto mmoja haimbi
Samahani nimepotea
Shukrani kwa wale wamenifikiria
Hizo miaka zote nimekuwa missing lakini iko kitu hamjaniambia
Kaa ningebaki bado ungekuwa na taki ya kuskia nikiwaimbia
Ama by saa hii mngekuwa mnanifanya vile mnafanya ma pioneer
Story kwa media ati nimechapa niko juu ya madawa nahangaika
Show ni ule jamaa aliimba Ada Ada ebu come ucurtain raisie mnaija
It's not that serious rap ni hobby
Bila mziki bado namanga
Ingekuwa career si ningekuwa nalia kuskia ati Naija Night Nairobi
Ambia new comer asijifeel sana we ni

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment