Paroles de la chanson Hayawani par Nyashinski

Chanson manquante pour "Nyashinski" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Hayawani"

Paroles de la chanson Hayawani par Nyashinski

Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha niwaambie

Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka

Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda! Ooo Hayawani

Hayayayaya
Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya
Binadamu kageuka mnyama

Hayawani, hayayayaya

Tunaongezea nini bidii?
Na roho ya mwanadamu haitosheki aki
Sorry if I never made u happy
I can't be there for everybody
It's easy to see
Wengi huishi kutafuta kasoro kwako
Why man so money minded
You wanna take from everyone
Man eat man society
Huoni haya kuvunja familia
Hamna utu ni kujifikiria
Woii binadamu wote mmegeuka Hyawani

Hayayayaya
Hayawani hawa si watu hawa
Hayayayaya
Binadamu kageuka mnyama!
Hayawani (Hayawani)
Hayawani (Hayawani)
hayayayayaya
Hayawani (Hayawani)
Hayawani (Hayawani)
hayayayayaya

Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chuki wivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda

Oii wenzangu acha niwaambie

Labda si sote wendawazimu
Labda laana yetu pesa
Kesho ukipoteza kila kitu
Dunia nzima itakucheka

Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu
Wabaki hao ndio kusema
Kesho wapigie demu yangu simu
Asahau alivyonipenda! Ooo Hayawani

Hayawa Hayawa Hayawa...

 

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment