Paroles de la chanson Wema par Kusah

Chanson manquante pour "Kusah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Wema"

Paroles de la chanson Wema par Kusah

Ya zamani nikikumbuka
Mbona nitakonda kwa pressure
Oburu nikimbuka
Unasumbuliwa tumbo la njaa

Na mwenzio nimechoka
Sina hata jero ya soda
Eti saidia kaka 
Mbona hata Mola atakuona

Unataka uniambie hukumbuki fadhila wewe
Yaani yote nilofanya ni bure una hila wewe
Unataka uniambie hukumbuki fadhila wewe
Yaani yote nilofanya ni bure una hila wewe

Yii aah, yiii aah, yiii ah
Ah yii aah, yii aah, yii ah
Ah yii aah, yii aah, yii aaaah
Aaah...

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Saa nyingine najiona kama ukungu
Umetanda kwenye njia yangu
Saa nyingine najiona nina ngundu
Nisaidie eeh Mola wangu

Saa nyingine najiona kama ukungu
Umetanda kwenye njia yangu
Saa nyingine najiona nina ngundu
Nisaidie eeh Mola wangu

Maana kila mtu naye mpa moyo 
Anaushika anaupasua
Hata yule nilomjali leo hii
Naye ananizungua

Ooh kitanzi
Penzi langu laungua moto
Jamani mapenzi
Yananifanya nalia kama mtoto

Yii aah, yiii aah, yiii ah
Ah yii aah, yii aah, yii ah
Ah yii aah, yii aah, yii aaaah
Aaah...

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Umeniweka gizani, wema
Hata mwanga sioni, wema
Ona naumia moyoni, wema
Umeniponza, wemaa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)