Paroles de la chanson Chelewa par Kusah

Chanson manquante pour "Kusah" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Chelewa"

Paroles de la chanson Chelewa par Kusah

Uuh umeni murder
Nimeishiwa na pozi mie
Nmekosa mada
Nabaki uh kutwa kukuwaza
Tamu usijegeuka shubiri
Moyo utaukwaza (aah eeh)
Wewe ndo jike langu la kopa
Mimi ndo dume lako la shupaza
Na uliko ni mbali njoo
Kabla kiza hakijatanda
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

Jua linazama
Moyo wangu unapwetapweta
Jini kisirani amepata nafasi
Stress za mapenzi zanilemea
Najaribu jidanganya (jidanganya)
Kuku kwa foleni nakaribia
Mimi bila wewe kama bwege
Sina lolote
Ohh baby baby anita
Jaribu kwendaga na mida
Ukinipa vyote barida
Njoo nikudakishe na show
(oh baby)
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment