Paroles de la chanson Kamwambie par Kayumba

Chanson manquante pour "Kayumba" ? Proposer les paroles
Proposer une correction des paroles de "Kamwambie"

Paroles de la chanson Kamwambie par Kayumba

Muulize anataka nini?
Nimwombe Mungu wangu ampatie
Mimi hoi masikini
Hali yangu mwenzangu na mie

Ningekuwa na uwezo
Ningempa dunia amiliki
Eeh ajue nampenda 
Penzi pembe la ng'ombe halifichiki

Eeh kamwambie, siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamanio
Mwambie nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamani oo
Mwambie  nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Afanye pole pole (Naumia roho)
Pole pole, naumia naumia
Ah chonde chonde, kamwambie
Chonde chonde

(Yeye ndo nusura wa ndoto zangu)

Akisema hanitaki nahisi itapulizwa parapanda
Mwisho mwisho wa dunia, maisha inashuka na inapanda
Akisema hanitaki nahisi itapulizwa parapanda
Mwisho mwisho wa dunia, maisha inashuka na inapanda

Sikiliza na uende ukamwambie
Moyo wangu wa mtumba chonda asinusie
Fundi geneza lisinifukie
Mapenzi yanauma asisikie

Eeh kamwambie, siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamanio
Mwambie nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Siku hizi mapenzi hakuna
Wale wengi wanatamani oo
Mwambie  nateketea mshumaa
Mwenye penzi la kweli anidhamanie

Afanye pole pole (Naumia roho)
Pole pole, naumia naumia
Ah chonde chonde, kamwambie
Chonde chonde
(Yeye ndo nusura wa ndoto zangu)

(Mafia)

Paroles.net dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)

Sélection des chansons du moment